News
ZIARA YA MWENYEKITI WA BODI YA STAMICO KWENYE MAONESHO YA UWEKEZAJI - LINDI
Mwenyekiti wa Bodi ya STAMICO Meja Jenerali(Mst) Michael Isamuhyo akiwa pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO Dkt. Venance Mwasse wakitembelea baadhi ya mabanda mbalimbali katika Maonesho ya Madini na Fursa za uwekezaji yanayoendelea katika Viwanja vya kilimahewa Ruangwa Mkoani Lindi