Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Shirika la Madini la Taifa

STAMICO YASHIRIKI VYEMA SHEREHE ZA MEI MOSI 1, MEI 2023

Imewekwa: 10 March, 2025
STAMICO YASHIRIKI VYEMA SHEREHE ZA MEI MOSI 1, MEI 2023

Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limeshiriki vyema siku ya Wafanyakazi Dunia katika Mikoa minne kwa mara moja.

Mikoa ambayo STAMICO imeungana na wafanyakazi wengine wa Tanzania kusherekea siku hiyo ni pamoja ma Mkoa wa Dodoma, Dar es Salaam, Morogoro na Songwe.

Kupitia Siku hiyo Shirika limeweza kutangaza Nishati mbadala ya kupikia ya Rafiki Briquttes.

Kauli mbiu ya Maadhimisho mwaka huu ni “ Mishahara Bora na Ajira za staha ni Nguzo kwa Maendeleo ya Wafanyakazi, Wakati ni sasa”

Mrejesho, Malalamiko au Wazo