WIKI YA MADINI NA KONGAMANO LA WACHIMBAJI WA MADINI
WIKI YA MADINI NA KONGAMANO LA WACHIMBAJI WA MADINI
Imewekwa: 10 March, 2025
Shirika la Madini la Taifa(STAMICO) linashiriki katika Maonesho ya Wiki ya Madini na Kongamano la Wachimbaji wa Madini linalofanyika katika Viwanja vya Rock city Mall, Mwanza kuanzia tarehe 03/05 hadi tarehe 10/05/ 2023. Katika Maonesho haya Shirika linaonesha bidhaa,huduma na shughuli zake mbalimbali inazozifanya. Maonesho haya yamefunguliwa rasmi leo tarehe 04/05/2023 na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dkt. Adam Malima