News
UTEUZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Venance B. Mwasse kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO). Kabla ya uteuzi huu Dkt. Mwasse alikuwa anakaimu nafasi hiyo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Venance B. Mwasse kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO). Kabla ya uteuzi huu Dkt. Mwasse alikuwa anakaimu nafasi hiyo.