Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Shirika la Madini la Taifa

Rais kusafiri kwenda marekani

08 November, 2024 Pakua

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kuondoka nchini leo tarehe 29 Oktoba, 2024 kuelekea Des Moines, Iowa, nchini Marekani kuhudhuria Mjadala wa Kimataifa wa Norman E. Borlaug ulioandaliwa na Taasisi ya World Food Prize Foundation ya nchini humo.

Mrejesho, Malalamiko au Wazo