News
Ushindi ni Raha!
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) leo katika uzinduzi wa Maonesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) imefanikiwa kuwa mshindi wa jumla katika washiriki wote kwenye hayo maonesho kuwa na Banda Bora zaidi.
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) leo katika uzinduzi wa Maonesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) imefanikiwa kuwa mshindi wa jumla katika washiriki wote kwenye hayo maonesho kuwa na Banda Bora zaidi.