News
STAMICO YANADI FURSA ZA UWEKEZAJI
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) tarehe 23 Agosti 2023 ilishiriki Kongamano la kutangaza fursa za uwekezaji kupitia mikutano ya B2B, Mkutano huo uliofanyika Ruangwa, Lindi.
Aidha STAMICO iliwakilishwa na Meneja Uwezeshaji Uchimbaji Mdogo Bw. Tuna Bandoma , ambaye alizinadi fursa mbalimbali za uwekezaji za STAMICO.