Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Isdori Philip Mpango akiwa katika Banda la STAMICO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Isdori Philip Mpango akiwa katika Banda la STAMICO
Imewekwa: 12 March, 2025
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania *Mhe.Dkt. Isdori Philip Mpango*, akitembelea banda la maonesho la *STAMICO* katika Hafla ya uzinduzi wa Wiki ya Madini inayofanyika Jijini Dodoma, leo tarehe 20 Juni 2024.